Saturday, 13 January 2018

JINA LA MUHAMMAD LAPEWA KWA WINGI WATOTO WALIOZALIWA 2017 AUSTRALIA

Jina la Muhammad limeonekana kuwa katika majina mengi yanayotolewa kwa watoto waliozaliwa mwaka 2017 katika mji mkuu wa Australia, Vienna  .
Moja ya maeneo ya kitalii mjini Vienna
Ripoti zilizotolewa na gazeti la Kronen Zeitung zimeonyesha kuwa watoto waliozaliwa mwaka 2017 wamepewa majina sana ya Alexander, Maximilian na katika upande wa waislamu ni Muhammad.

Kwa mujibu wa habari katika mji wa Vienna mwaka jana watoto 175 wamepewa Alexander,161 Maximillian na 159 Muhammad.

David (143) and Filip (137) yameshika nafasi ya nne na ya tano.

Katika habari imeonekan kuwa kwa wasichana, Sophia (183), Sara (173) na Anna (142).

Historia ya jina la Muhammad lilianza baada ya kuzaliwa Mtume (Muhammad) wa viumbe wote ulimwenguni karne 14 zilizopit katika mji wa Makkah.