![]() |
Mufti Mkuu na Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar Zubaeir |
Mufti Mkuu na Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zubeir alitoa taarifa hiyo wakati akiongea katika kipindi cha kiislamu kinachorushwa na Televisheni ya Taifa ya TBC1.
Maulid ya kitaifa yamekuwa yakifanyika kila mwaka mwezi mosi mfungo sita ambapo siku hiyo huwa ni mapumziko kwa nchi nzima kupisha sherehe za kuzaliwa mtukufu wa daraja Mtume Muhammdﷺ.
Mwaka huu Maulid Day inatazamiwa kuwa tarehe 1 Desemba.