Wednesday, 29 March 2017

MSIKITI WASHAMBULIWA MAREKANI

Msikiti mmoja katika jimbo la Colorado umeripotiwa kushambuliwa .
Tukio hilo limetambulika kuwa la chuki na uchunguzi tayari umeanzishwa .

Mshambuliaji alionekana akipiga mateke msikiti huo upande wa mlango .

Shirika la uhusiano wa waislamu la Marekani baada ya shambulizi hilo liliomba mamalaka kufuatilia tukio hilo .