Saudi arabia, imeripotiwa katika gazeti la nchi hiyo Alhamis iliyopita.
![]() |
| Mzee Albert katikati aliyevaa shati na suruali |
Aliamua kusilimu katika mwezi 21 mfungo wa Ramadhani na kuchagua jina la Muhammad huko Bandari ya magharibi ya Red sea.
Mzee Albert ambaye ni mzaliwa wa California, aliingia nchini Saudi Arabia mwaka 1961 na ana wajukuu 24.
