Ufunguzi wa sherehe hizo uliongozwa na Mudir Sheikh Samir Sadiq, Naib Mudir Wake Sheikh Rashid Bakar Al Burhani ambaye aliongoza Dua ya Ufunguzi.
Ufunguzi huo ulihudhuria na watu wengi wakiwemo Sheikh Rajab Kiungiza, sheikh kisuwa Ally na sheikh Simba wote kutoka Arusha.
![]() |
| Bendera ikipandishwa |
![]() |
| Mudir Sheikh Samir |
Sherehe hizo zitaendelea mpaka siku ya Jumamosi kama kilele na mwisho wa shughuli hizo ambapo hufanyika kila mwaka.
Sherehe hizi ni za kwanza tangu kufariki kwa aliyekuwa Mudir Sheikh Muhammad Bakar Al Burhani. Sheikh Muhammad Bakar alifariki machi 7 mwaka huu sawa na tarehe 26 Mfungo nane 1437 .
Ratiba kamili ya Sherehe hizo waweza kusoma hapo chini.
RATIBA KAMILI
![]() |
| Upandishaji Bendera |
![]() |
| Mzee Said Makata rafiki na mwanafunzi wa Sheikh Muhamad Ayoub |
![]() |
| Bendera tayari ishapandishwa |
![]() |
| Msomaji Qurani |
![]() |
| Wahudhuriaji |
![]() |
| Makaribisho |
![]() |
| Naib Mudir Sheikh Rashid Bakar Al Burhan |











