Maelfu ya waumini kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi walijitokeza kuusindikiza mwili wake.
Shughuli za mazishi zilianza mapema kwa Masheikh mbalimbali kuelezea wasifu wa ilmu yake na uchaungu wake.
| Naib Mudir Sheikh Samir Sadiq na Ustaadh Rashid Bakar wakipanga ratiba |
| Umati wa waumini wakisikiliza wasifu wa Sheikh Muhammad Bakar |
| Sharif Mihdhwar Khitamy akizungumza |
| Sharif Hussein Hashimu Akizungumza |
| Waumini wamejipanga kwa ajili ya Jeneza |
| Tayari kaburi likiwa lishachimbwa |
| Mwili wa Sheikh ukitolewa nyumba kwake na kupelekwa madrasa |