Mfungo wa Ramadhani New Zealand unatarajiwa kuanza Mwezi Juni tarehe sita kutegemea na mwandamo wa mwezi.
![]() |
| Waislamu wakisali msiki wa Hawke's bay and Islamic Centre |
Baadhi ya nchi za Ulaya wanatarajia kufunga takribani masaa 20 au masaa 15 katika nchi za mashariki ya kati.
Dr. Zain Ali ambaye ni mkuu wa utafiti wa Kiislamu alisema kuwa kwa mazingira hayo yanaipa New Zealand nafasi nzuri ya kupokea watalii wengi wa kiislamu katika mwezi huo Mtukufu.
Mwezi wa Juni ni kipindi cha baridi hivyo masaa ya mchana hupungua huko New Zealand.
