Msemaji huyo pia amesema, kesi za maofisa zaidi ya 30, wakiwemo mkurugenzi wa zamani wa idara ya ujasusi na waziri mkuu wa zamani pia zitasikilizwa. Maofisa hao wanakabiliana na mashtaka ya mauaji, utekaji nyara, uporaji, ufisadi na kuharibu umoja wa taifa.
Watoto hao wa Gaddaf ni Saif al Gaddafi na Saad Gaddafi.
![]() |
| Saaad Al Gaddaf |
![]() |
| Saif Al Gaddaf |

