"Msimamo wangu mimi kitendo kilichofanywa na Wanajeshi na Polisi ni kitendo tunachoweza kukifafanua kuwa ni kitendo cha Kigaidi hamna kitu kingine", alisema na kuongeza,
![]() |
| Mbunge wa Mvita Abdulswamad Sharif Nasir |
Alipoulizwa kuhusu hoja ya Polisi kuwa waislamu waliokuwa ndani ya Msikiti walikuwa na Silaha na kuhatarisha Usalama wa Taifa alisema, "kwanza mimi swali langu ni moja, Polisi wao wanasema Vijana wao walikuwa na silaha, kwanini wasingetumia busara kama vijana walikuwa na silaha maana wapo Maaskari waislamu wangeweza kutumika kuingia Msikitini kwa nidhamu na kuwaonya vijana kusalimisha silaha zao kwa utaratibu na bila kusababisha hasara na kuwaua watoto wasio na hatia".
Sikiliza mahojiano ya Mbunge huyo na msemaji wa Polisi
