![]() |
| Wasichana wakiwa wamevaa hijabu katika shule ya jeshi ya Kuleli military high school huko Istanbul, Uturuki |
Sare za jeshi zimeruhusu wanawake kuvaa hijab ndani ya kofia ya wanajeshi.
Uamuzi huu umefurahisha raia wengi Uturuki.
Uturuki ni kati ya nchi zinazounga mkono waislamu.
