Wednesday, 21 September 2016

PICHA: MAHUJAJI KUTOKA NCHI MBALIMBALI DUNIANI

Mahujaji takribani milioni mbili wanakadiriwa kufanya ibada ya Hijja kwa mwaka huu wa 2016 kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Hijja ni miongoni mwa nguzo katika dini ya Kiislamu ambayo imefaradhizishwa kutekelezwa kwa kila mwislamu mwenye uwezo wa kwenda Makka.

Angalia picha za mahujaji kutoka nchi mbalimbali duniani.
Binti kutoka china akiwa na Birika la kuchemshia Chai
Bibi wa Miaka 76 kutoka nchi ya Turkmenistan
Mmoja wa mahujaji kutoka wizara ya mambo ya nje ya Ufaransa ambaye amesilimu
mahuja kutoka nchi ya Sierra leone kushoto na nchi ya Guinea
Familia ya Kiyemen ikiwa Madina
Hujaji kutoka bonde la Swat huko Pakistan ambaye ni mtaalamu Ujenzi wa majengo
Wanatoka Dili huko Indonesia
Familia ya Kimisri wakiwa Madina
Kutoka nchi ya Chad ambaye anaamini kupiga picha ni kinyume na sheria za kiislamu,
ila alikubali kupiga picha kwa dharura

Haji kutoka Oman akiokota mawe kwa ajili ya kumpiga Shetani
Hujaji kutoka india akijipiga Selfie