![]() |
| Mufti wa Tanzania katikati akiwana na Kadhi Mkuu kulia kwake Sheikh Abdallah Mnyasi na kushoto ni Sheikh Alhad Omar |
![]() |
| Kutoka kushoto Sheikh Suleiman Kilemile, Sheikh Hassan Chizenga na Sheikh Hamid Jongo. |
![]() |
| Masheikh |
Wengine ni Mkurugenzi wa zamani wa NSSF Dr. Ramadhani Dau, Mwenyekiti wa CCM mkoa Dar es Salaam Ramadhani Madabida na wengine wengi miongoni mwa Masheikh na watu mashuhuri wa ngazi tofauti.
![]() |
| Kutoka kushoto Ramadhani Madabida, Sheikh Suleiman Kilemile na Sheikh Hassan Chizenga. |
![]() |
| Waumini Msikitini Shadhily |
![]() |
| Waumini Msikitini Shadhily |
Picha zote kwa ihsani ya
Ustaadh Kassim Rashid








