![]() |
| Sheikh al Tayyib |
Amesema, dini tukufu ya Kiislamu, ni dini ya amani na kupendana, na inapinga vikali jinai za kukata watu vichwa na utegaji mabomu unaofanywa na magenge ya kigaidi kwa lengo la kuharibu sura ya dini ya Kiislamu.
![]() |
| Pamoja na waandishi wa habari |
Chuo Kikuu cha al Azhar ni moja ya vyuo vikuu vikongwe katika ulimwengu wa Kiislamu na vimekuwa vikipokea wanafunzi kutoka kona zote za dunia.

