Ujenzi wa msikiti huo ulianza machi 2012 umejengwa juu ya ardhi ya ekari 5 na ukubwa wake ni mita za mraba 1,300. Msikiti huo utakuwa na minara minne, miwili tayari imeshakamilika.
Pia kunajengwa eneo la kuchukulia udhu lililokubwa zaidi,
sehemu ya kuegeshea magari mia nane kwa wakati mmoja pamoja na ofisi ya Mufti. Ujenzi unatarajiwa kukamilika mwaka 2015.
![]() |
| Ujenzi ukiendelea |
