Thursday, 6 March 2014

NCHI YA KYRGYZSTAN YAPATA MUFTI MPYA

Baraza kuu la waislamu la nchi ya Kyrgyzstan iliyopo Asia ya kati limemteua Maksat Hajji Toktomushev  kuwa mufti mkuu mpya wa nchi ya hiyo.

Toktomushev alikuwa akifanya kazi kama kaimu Mufti tangu mapema Januari kabla ya kuteuliwa rasmi kuwa Mufti mkuu juzi. 


Maksat Hajji Toktomushev