Shirikisho la waislamu nchini korea kusini limeitaka bendi hiyo kuomba msamaha kwa matumizi mabaya ya Aya za Qurani na kurekebisha wimbo huo kwa kutoa Aya hizo katika wimbo huo.
Aya zilizotumika katika wimbo huo ni za 32 mpaka 34 za sura ya 78 suratil Nnaba. Aya walizotumia ni;
حَدَائِقَ وَأَعْنَابًا ﴿٣٢﴾ وَكَوَاعِبَ أَتْرَابًا﴿٣٣﴾ وَكَأْسًا دِهَاقًا ﴿٣٤
حَدَائِقَ وَأَعْنَابًا ﴿٣٢﴾ وَكَوَاعِبَ أَتْرَابًا﴿٣٣﴾ وَكَأْسًا دِهَاقًا ﴿٣٤
YG Entertainment kampuni ambayo imetengeza albamu ya bendi hiyo imesema ipo tayari kufuta sehemu hiyo ya wimbo
ulioingizwa aya za Qurani
![]() |
| Wanamuziki wa Bendi hiyo |
