Watu wawili wanaarifiwa kuwa wameuawa na wengine kadha kujeruhiwa kwenye ghasia katika Masjid Mussa ulioko majengo mjini Mombasa, Kenya.
Polisi walivamia msikiti huo baada ya kupata taarifa kuwa
kuna kundi la vijana lilikuwa likiendesha mafunzo ya kijeshi msikitini hapo.
Taarifa kamili bonyeza HAPA
![]() |
| polisi wakiwa ndani ya msikiti na viatu |
![]() |
| walitanda mitaa yote |
![]() |
| waislamu wakimsaidia mwenzao aliyejeruhiwa |
![]() |
| majeruhi |
![]() |
| kipigo kwanza ,halafu panda karandinga |
![]() |
| wakipandishwa katika karandinga |
![]() |
| majeruhi |









